Monday, May 31, 2010


Huyu ndiye mwana na mjanja asiyepitiliza anayemiliki blog hili la kitaa kwa ufahamu zaidi. Anaitwa Emmanuel E. Mnzava au ukiwa na pumzi za kutosha sema Mzeiya wa milazo "wamilazo". Mchizi ni mtangazaji wa radio moshi fm pande za kilimanjaro na anasukuma dambwe kama The base, Mid-Morning Cruz,Supreme Countdown,Project 120 na dabwe nyingine kibao na pia anamwaga material katika chuo yani pande fulani kati hivi ya coarse ya Broadcasting and Journalism Radio and Tv Production.

No comments:

Post a Comment