Monday, May 31, 2010

PISHI LIMEWIVA

Mambo vipi Mtanzania!!!



Kama upo poa,furaha ndio inatawala zaidi katika moyo wangu. Binafsi nipo safi ndio mana leo nataka nikupe kinaga ubwaga kuhusu blog hili la kitaa kwa ufahamu zaidi.



Blog hii ni ya kitaa kwa ufahamu zaidi litakujuza mambo mengi ya kisiasa,kijamii,kiuchumi na burudani bila kusahau kuwa mungu daima tunamueka mbele namaanisha maswala ya dini yatakuwepo.



Kiukweli mchakato umeanza rasmi kwa mwendo wa gari,ndege,pikipiki,baiskeli au ukianza kutembea, unaanza taratibu kisha unachukua kasi ya ajabu kwa wewe upendavyo.



Kila jambo kwa kulifanya kwa umakini unahitaji kutafakari,kuchambua mambo na kuliwakilisha kwa umakini ila lazima upate mawazo kutoka kwa wengine maana hakuna aliyekamilika.



Nashukuru kwa kufahamu haya machache!!!



Kaa tayari wewe mkubwa,wakati na mtoto.



Bidae!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment