Sunday, July 18, 2010

CHEKI SWAGGAZ ZA PROJECT 120!!!!!!!!!!!!

HOT PINDI NDANI YA MOSHI FM 90.2

Hii ni shoo kali ndani ya redio moshi fm kila ijumaa saa 7 hadi saa 10 jioni, wengi hawakosi kuisikiliza sikjui wewe. The big host wa hot pindi hili ni Mzeiiyaaaa wa milazo. Mzazi usijaribu kusikiliza hutaacha.


Nyie watoto kwa makamuzi si mchezo mnafanya balalaaaa. Huyu ni Ntoly Mayombole baada ya mzuka aliamua kuvamia shoo kwa upande wa pili wa studio.




Hisia za mziki zinapogusa mahala penyewe hakuna mkubwa wala mtoto, bosi wala mfanyakazi na milazo tata ni raha raha raha mpaka mwisho mwisho!!!!!!!!!!. Mwenye shati la drafti nyekundu na nyeupe ni Meneja wa redio moshi fm, Bw Deus Mworia.




Mwenye Tshirt ya mistari ya bluu na nyeupe(kushoto) ni Dj Poggo na mwenye tshirt nyekundu (kulia) ni Dj Q. Machizi ambao wanawakilisha vema katika shoo hii kali pia wagonga pini ndani ya club laliga


Mwenyewe headphone ni host wa hot pindi la project 120 Mzeiyaaa wa milazo na kwa mabli ni madj's wakigonga pini kwa ushirikiano.


The host wa hot pindi "project 120" Mzeiiiyaaaaaaaa akichongana na Dj Poggo.

Usiache kusikiliza Moshi Fm kwa vipindi vikali baada ya marekebisho ya nguvu.








No comments:

Post a Comment