Friday, October 1, 2010

MAMBO VIPI WAUNGWANA MPO POA???

LONG TIME MBAYA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Me mzima wa afya na naendelea poa na kuchaplika hapa town. Ubize ulikuwa kiasi lakini si sana kiivyo kwani yapo mazuria ambayo nimekuandalia ya kuyafahamu na kujiuliza ili tuweza kusongesha gurudumu la maisha.

Ndani ya mjengo wa MOSHI FM kama kawa kama dawa mambo nayasongeshwa kwa sana tu, na kama upo kanda ya kaskazini ( Tanga,Manyara,Kilimanjaro na Arusha) unatusoma kwa 90.2. Pindi nazishona zile zile Mid-Morning Cruise jumatatu hadi ijumaa saa 2.00-5:00 asubuhi, The base kila jumatatu - alhamisi saa 7:00-10:00 mchana, Project 120 kila ijumaa saa 7:00-10:00 mchana, Nipe Nikupe kila jumamosi na jumapili saa 1:oo-4:00 asubuhi na Supreme countdown jumamosi saa 12:00-02:00 usiku.


Kama kawaida pia nakandamiza kama ticha wa masomo ya uandishi na utangazaji katika chuo kikongwe na maarufu cha udzungwa. Karibu ujiunge.

Mwana nimerudi kwa kishindo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment