Friday, June 4, 2010
JIULIZE
Kwa nini upendo hushamiri wakati wa urafiki kuliko mnapoamua kuishi wawili!!!!!!!!!!!!!!!!

CHOCOLATE

PERFUME

FLOWER
Mara nyingi katika maisha ya sasa hivi ( dot com) huwa vijana hutafuta wenyewe wachumba. Ila wakati unavyozidi kwenda hata vijana wenye umri wa kati hutafuta marafiki yaaani wapenzi na moja kwa moja hujiingiza katika ngono zembe.
Kipindi hiki huwa mapenzi yanakuwa yako juu kama obama au yanashamiri na kujenga mizizi kama ya mbuyu. Hapo ndipo manjina mazuri saaaaaana wanakuwa wanaitana sweet,dear,my lotion,darling,my luv,precious,baby,honey,my carpert,my side,my sweet potatoes,my sugar banana,. Mbali na hapa huwa wanananunuliana zawadi kila mar,zawadi za nguo za aina mbalimbali,maua,kadi,chocolate,perfume,ice cream,pipi,biscuts na vingine vingi haswa vile vya kitoto najua unavifahamu bila kusahau simu kwa sana na ujumbe mfupi wenye maneno matamu ya mapenzi.
Malengo yakishatimia ya kuishi pamoja iwe kwa ndoa au tumeamua vitu hivi huyeyuka kama barafu kwenye jua. zawadi hamna,jina utaitwa lako la kuzaliwa au kama mna mtoto atakuita mama au baba mwang'onda.
Nimejiuliza kuwa baada ya kufanikiwa kuingia ndani nakuwa mwili mmoja naamini furaha lazima izidi saana na upendo uongezeke. ILa cha kushangaza upendo wa kawaida tofauti na urafiki.
Jaribu kujiuliza kisha jaribu kuimarisha upendo na mume au mke wako kama awali.
Ni hayo tu wandugu. Habari ndo hiyo!!!!!!!!!!!!!!

CHOCOLATE

PERFUME

FLOWER
Mara nyingi katika maisha ya sasa hivi ( dot com) huwa vijana hutafuta wenyewe wachumba. Ila wakati unavyozidi kwenda hata vijana wenye umri wa kati hutafuta marafiki yaaani wapenzi na moja kwa moja hujiingiza katika ngono zembe.
Kipindi hiki huwa mapenzi yanakuwa yako juu kama obama au yanashamiri na kujenga mizizi kama ya mbuyu. Hapo ndipo manjina mazuri saaaaaana wanakuwa wanaitana sweet,dear,my lotion,darling,my luv,precious,baby,honey,my carpert,my side,my sweet potatoes,my sugar banana,. Mbali na hapa huwa wanananunuliana zawadi kila mar,zawadi za nguo za aina mbalimbali,maua,kadi,chocolate,perfume,ice cream,pipi,biscuts na vingine vingi haswa vile vya kitoto najua unavifahamu bila kusahau simu kwa sana na ujumbe mfupi wenye maneno matamu ya mapenzi.
Malengo yakishatimia ya kuishi pamoja iwe kwa ndoa au tumeamua vitu hivi huyeyuka kama barafu kwenye jua. zawadi hamna,jina utaitwa lako la kuzaliwa au kama mna mtoto atakuita mama au baba mwang'onda.
Nimejiuliza kuwa baada ya kufanikiwa kuingia ndani nakuwa mwili mmoja naamini furaha lazima izidi saana na upendo uongezeke. ILa cha kushangaza upendo wa kawaida tofauti na urafiki.
Jaribu kujiuliza kisha jaribu kuimarisha upendo na mume au mke wako kama awali.
Ni hayo tu wandugu. Habari ndo hiyo!!!!!!!!!!!!!!
Thursday, June 3, 2010
KATA YA PASUA KUONGOZA KWA CHABO.
Wana nyie noma kwa kozi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
Kata ya pasua katika manispaaa ya moshi inahisiwa kuongoza kwa watu kula CHABO au KOZI kitendo ambacho hulaumiwa na wananchi wengi.
Akizungumza na Blog hii ya kitaa kwa ufahamu zaidi, Erick Makyara,mkazi wa pasua, amesema mpaka sasa tayari watu wawili wamekamatwa wakiwa wanakula chabo katika madirisha ya watu.
Chabo au Kozi ni kitendo cha kuchungulia watu wanaofanya mapenzi ndani iwe nyumbani au katika vyumba vya wageni. Mbinu zinazotumika ni kuchungulia kupitia madirishani yaliopo nyuma ya nyumba na kwenye dari kama halijazibwa.
Makyara amesema kamchezo hako hutumiwa sana na vijana na hupenda kutembea na simu zenye kamera ili kupiga picha wakati wakichabo na huku ujenzi wa magorofa (kufanya mapenzi) ukiendelea.
Amesema kwa sasa wananchi wamenzisha masako kwa ajili ya watu kwenye tabia hiyo,pindi watakapokamatwa adhabu ya kwanza watachapwa viboko na kuwataka wananchi kuwa makini kwa tabia hiyo mbaya.
Kitendo hiki kilihusishwa na baadhi ya watu kuwa na mawasiliano na wafanyakazi wa nyumba za wageni kuwaonyesha vyumba vyenye watu. Hata hivyo watu hao huwachaji watu wanopenda kula chabo na kuwapeleka kwenye nyumba hizo.
Tabia hii inahusishwa na utumiaji wa madawa yakulevya "mirungi" inayomfanya mtu kutokulala na kusikia hamu ya tendo la ndoa huku uume wake hutoweka nguvu pindi anapomaliza kutumia madawa hayo na kuhitaji kufanya mapenzi. Hivyo, hulazimika kutafuta watu wanaofanya mapenzi ili apate starter.
Mwananchi jiulize!!!!!!!!!!
1. Unafaidika nini haswa unapochungulia watu wakifanya mapenzi.
2. Mume wa mtu au mke wa mtu uchunguliwe na kupigwa picha ukiwa na mtu si wako na picha kufikishwa kwa muhusika(mke au mume wako)
3. Ukikuta ni ndugu yako (dada,kaka,mama,bibi,mjomba nk;) utafanya nini?
4. Ukikuta ni mpenzi wako utafanya nini.
5. Kama ni mume wako au mtoto wako wa kiume maamuzi gani utachukua
MWISHO; Wapo wanawake wana tabia hii
WANAUME TUNA SHUGHULI KWELI KWELI!!!!!!!!
Kata ya pasua katika manispaaa ya moshi inahisiwa kuongoza kwa watu kula CHABO au KOZI kitendo ambacho hulaumiwa na wananchi wengi.
Akizungumza na Blog hii ya kitaa kwa ufahamu zaidi, Erick Makyara,mkazi wa pasua, amesema mpaka sasa tayari watu wawili wamekamatwa wakiwa wanakula chabo katika madirisha ya watu.
Chabo au Kozi ni kitendo cha kuchungulia watu wanaofanya mapenzi ndani iwe nyumbani au katika vyumba vya wageni. Mbinu zinazotumika ni kuchungulia kupitia madirishani yaliopo nyuma ya nyumba na kwenye dari kama halijazibwa.
Makyara amesema kamchezo hako hutumiwa sana na vijana na hupenda kutembea na simu zenye kamera ili kupiga picha wakati wakichabo na huku ujenzi wa magorofa (kufanya mapenzi) ukiendelea.
Amesema kwa sasa wananchi wamenzisha masako kwa ajili ya watu kwenye tabia hiyo,pindi watakapokamatwa adhabu ya kwanza watachapwa viboko na kuwataka wananchi kuwa makini kwa tabia hiyo mbaya.
Kitendo hiki kilihusishwa na baadhi ya watu kuwa na mawasiliano na wafanyakazi wa nyumba za wageni kuwaonyesha vyumba vyenye watu. Hata hivyo watu hao huwachaji watu wanopenda kula chabo na kuwapeleka kwenye nyumba hizo.
Tabia hii inahusishwa na utumiaji wa madawa yakulevya "mirungi" inayomfanya mtu kutokulala na kusikia hamu ya tendo la ndoa huku uume wake hutoweka nguvu pindi anapomaliza kutumia madawa hayo na kuhitaji kufanya mapenzi. Hivyo, hulazimika kutafuta watu wanaofanya mapenzi ili apate starter.
Mwananchi jiulize!!!!!!!!!!
1. Unafaidika nini haswa unapochungulia watu wakifanya mapenzi.
2. Mume wa mtu au mke wa mtu uchunguliwe na kupigwa picha ukiwa na mtu si wako na picha kufikishwa kwa muhusika(mke au mume wako)
3. Ukikuta ni ndugu yako (dada,kaka,mama,bibi,mjomba nk;) utafanya nini?
4. Ukikuta ni mpenzi wako utafanya nini.
5. Kama ni mume wako au mtoto wako wa kiume maamuzi gani utachukua
MWISHO; Wapo wanawake wana tabia hii
WANAUME TUNA SHUGHULI KWELI KWELI!!!!!!!!
ANTIVIRUS ALBUM ON THE WAY!!!!
Elimu kwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!
Antivirus ni project ya mashambulizi mwanzo mwisho, itafanya kazi kwa mtindo wa mixtapes, yaani kurekodi nyimbo kwenye instruments maarufu za kiwanja, halafu ngoma zinawekwa pamoja halafu zinagawiwa bure kwa Watanzania na kazi itasajiliwa na COSOTA. Kila msanii ataimba topic yake kuhusu Antivirus, yaani atagonga jiwe lake kwa kutaja majina wahusika wa unyonyaji wa muziki wetu.

Antivirus ni project ya mashambulizi mwanzo mwisho, itafanya kazi kwa mtindo wa mixtapes, yaani kurekodi nyimbo kwenye instruments maarufu za kiwanja, halafu ngoma zinawekwa pamoja halafu zinagawiwa bure kwa Watanzania na kazi itasajiliwa na COSOTA. Kila msanii ataimba topic yake kuhusu Antivirus, yaani atagonga jiwe lake kwa kutaja majina wahusika wa unyonyaji wa muziki wetu.

Mkongwe wa Bongo Hip Hop, Joseph Mbilinyi 'Mr. II' a.k.a 'Sugu' amesema Project hiyo inahusu mapinduzi, inanyoosha ukweli kwa vipimo vyake, inawagonga fatuma wezi wote waliohusika kuihujumu Bongo Fleva na inatangaza vita kwa yeyote mwenye shida ya ubaya dhidi ya wanamuziki wataka haki.
Baadhi ya Ma-supastaaa watakaokuwemo kwenye project hiyo ni Godfrey Tumaini ‘Dudubaya’, Suleiman Msindi ‘Afande Sele’, G Solo na wengine kibaoooooooo.
KAZENI BUTI WASANII MLE JASHO LENU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
UTAPANDA AU KUENDESHA PIKIPIKI!!!!!!!!!!!!!!!
Ajali inaua,inajeruhi:usishabikie mwendo kasi:mpanda pikipiki vaa kofia ngumu!
Watu 181 wamefariki dunia kwa ajali za pikipiki katika ajali 1,414 zilizotokea kote nchini katika kipindi cha miezi minne kuanzia Januari, huku zikiacha majeruhi 1,206, imeelezwa.
Akizungumza juu ya mabadiliko ya tarehe za kuadhimisha Wiki ya Usalama Barabarani, Mwenyekiti wa baraza linalosimamia masuala hayo, Abbas Kandoro alisema ajali nyingi zinatokana na abiria kushabikia mwendo wa kasi na wengi kutovaa kofia za kujikinga kichwa.
Kandoro, ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Mwanza,alisema ndio maana kaulimbiu ya mwaka huu ni "ajali inaua, inajeruhi; usishabikie mwendo wa kasi; mpanda pikipiki vaa kofia ngumu" ambayo alisema inalenga kuwaelimisha wapandaji wa usafiri huo kuwa makini.
Aliongeza kwa kusema ongezeko hilo la ajali linaonekana kwenda sambamba na ongezeko la vyombo hivyo vya usafiri, ambavyo katika mwaka mmoja uliopita pikipiki zimekuwa moja ya vyombo vinavyotegemewa sana kwa usafiri wa abiria.
TUWE WAANGALIFU NA VYOMBO VYA MOTO HAVINA URAFIKI
Watu 181 wamefariki dunia kwa ajali za pikipiki katika ajali 1,414 zilizotokea kote nchini katika kipindi cha miezi minne kuanzia Januari, huku zikiacha majeruhi 1,206, imeelezwa.
Akizungumza juu ya mabadiliko ya tarehe za kuadhimisha Wiki ya Usalama Barabarani, Mwenyekiti wa baraza linalosimamia masuala hayo, Abbas Kandoro alisema ajali nyingi zinatokana na abiria kushabikia mwendo wa kasi na wengi kutovaa kofia za kujikinga kichwa.
Kandoro, ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Mwanza,alisema ndio maana kaulimbiu ya mwaka huu ni "ajali inaua, inajeruhi; usishabikie mwendo wa kasi; mpanda pikipiki vaa kofia ngumu" ambayo alisema inalenga kuwaelimisha wapandaji wa usafiri huo kuwa makini.
Aliongeza kwa kusema ongezeko hilo la ajali linaonekana kwenda sambamba na ongezeko la vyombo hivyo vya usafiri, ambavyo katika mwaka mmoja uliopita pikipiki zimekuwa moja ya vyombo vinavyotegemewa sana kwa usafiri wa abiria.
TUWE WAANGALIFU NA VYOMBO VYA MOTO HAVINA URAFIKI
Subscribe to:
Posts (Atom)