SERIKALI jana imetangaza bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2010/11 ambayo inaonekana kupunguza makali kwenye baadhi ya sekta huku ikiongeza makali kwenye maeneo mengine.
Bajeti hiyo ya Sh1.1 trilioni inaendelea kuweka kipaumbele katika uboreshaji miundombinu, elimu, afya, kilimo, na maji huku ikielekeza nguvu katika kubana matumizi ya serikali na ukusanyaji zaidi wa kodi,
Waziri wa fedha na uchumi Mstafa Mkulo
Kwa maelezo zaidi cheki magazeti ya leo.
Friday, June 11, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment