Nyepesi ni kwamba mzigo ambao kila mmoja atakuwa nahamu ya kuusikiliza naongelea kolabo ya ajabu kuwahi kusikika kati ya msanii bora wa hiphop kwa 4 years mfululizo CHIDI BEENZ na MZEE YUSUPH! hahaaaa,alambaa tena aaaamh. Mpaka sasa bado jina la ngoma hiyo halijapatiakana. So tulisubirie
Chidi Benzi a.k.a Kin Kong akiwa live kwenye michano na amevaa moja kati ya Tshirt ambazo zilitoka kwa ajili ya kumkumbuka TID baada ya kusukumwa lupango.
Oya tusubirie hilo pini la mkali wa hip hop na mkali wa taarabu.
No comments:
Post a Comment