Friday, June 18, 2010

CHIDI NA MZEE YUSUPH SERO MOJA

Ngoma itambae ili Alamba tenaa aaaammh!!!!!!!!!!!!!!

Nyepesi ni kwamba mzigo ambao kila mmoja atakuwa nahamu ya kuusikiliza naongelea kolabo ya ajabu kuwahi kusikika kati ya msanii bora wa hiphop kwa 4 years mfululizo CHIDI BEENZ na MZEE YUSUPH! hahaaaa,alambaa tena aaaamh. Mpaka sasa bado jina la ngoma hiyo halijapatiakana. So tulisubirie


Chidi Benzi a.k.a Kin Kong akiwa live kwenye michano na amevaa moja kati ya Tshirt ambazo zilitoka kwa ajili ya kumkumbuka TID baada ya kusukumwa lupango.


Mzee Yusuph akionyesha jinsi ya kuceza kwa hisia. Jamaaa ambaye anafanya poa sana katika mziki wa taarabu na amukuwa mchukuaji sana wa tuzo nyingi za KILI.
Oya tusubirie hilo pini la mkali wa hip hop na mkali wa taarabu.

No comments:

Post a Comment