Friday, June 18, 2010

MTOKO WA BENJAMINI WA MAMBO JAMBO

Msanii wa Miondoko ya Ragga Benjamin wa Mambo Jambo anatarajia kutoa track yake mpya mwanzoni mwa mwezi wa saba akimpa shavu saigon ingawa hakuitaja jina.


Kazi amifanya ndani ya mzuka rekodi, produza akiwa yeye mwenyewe kama alivyoishona nimefulia.

Benjamin amewaambia mashabiki wake wakae tayari kuipokea track yake mpya kwa sababu ni kali zaidi ya nimefulia na mashabiki wakae tayari kwa album yake mpya ambayo baadhi ya track zimekamuliwa na producer Miikka Mwamba kutoka nchini Finland na Baadi ya track amefanya yeye mwenyewe.

No comments:

Post a Comment