Monday, June 14, 2010

WEKA ASILIMIA ZAKO

Haya ndio maisha ya mapenzi.

Katika maisha ya mapenzi kuna mambo mengi ambayo unakutana nayo endapo unaye mpenzi au upo kwenye ndoa au umeamua kuishi na yule ambaye anakufaa. Hebu jaribu kutafakari katika maisha ya sasa haya;

Fumanizi
Mauzo ya condom
Waliozini
Matukio wakati wa mapenzi mfano kuvunjika kitanda
Waliopata wapenzi wapya
Waliyoachwa(kugombana na kuachana) yaaani Ndoa zilivunjika

Wanaoshinda nyumbani na familia zao
Mahudhurio ya gesti
Wangapi wanatumia neno I LOVE YOU.

Nahisi utakuwa umenisikia vizuri, jaribu kutafakari katika maisha ya sasa jambo gani ambalo linatiafora au kushamiri katika maisha ya mapenzi na unalipa asilimia ngapi na kama umesikia vizuri jaribu kuyapanga kiasilimia au la kwanza hadi la mwisho.


Nangojea majibu yako.

No comments:

Post a Comment