Sunday, June 6, 2010

DOGO MASANJA a.k.a MAZIMU

Katika safari ya maisha daima huwa na historia pana kwa kufahamu na kukutana na mambo mengi. Mchizi anajulikana kwa jina la YUSUPH MICHAEL MAZIMU (Masanja Jr) ni mtangazaji wa redio Moshi Fm na anasukuma book pande za MUCCOBS. Ukipenda kumsikiliza bafya 90.2 Moshi Fm mida ya saa 5 asubuhi katika show ya Movement Amplified.


Masanja Jr; Anabofyaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!

Dogo anablog inayojulikana kwa jina la www.mazimu11.blogspot.com kama vipi kacheki ishuz pande hizo.

No comments:

Post a Comment