
Timu hiyo imebakiza mechi moja kwa heshima ya michezo ingawa kushinda si sababu ya kuendelea bali kujiwekea sifa nzuri kiduchu ila kufungwa ni aibu ambayo itakuwa na historia kwa timu hiyo kubwa.
Mchezaji mkali Eto alisadikika ni kati ya wachezaji ambao watacheka na nyavu ingawa amecheka na nyavu mara moja.
Poleeeeni ndio michezo.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
No comments:
Post a Comment