Monday, June 21, 2010

CAMEROON BYE BYEEEEEEE!!

Cameroon timu ambayo ilikuwa miongoni mwa timu zilizokuwa zikitajwa kama “tumaini la Afrika”,imeyaaga mashindano hayo baada ya kufungwa jumla ya magoli 2-1 na Denimark


Timu hiyo imebakiza mechi moja kwa heshima ya michezo ingawa kushinda si sababu ya kuendelea bali kujiwekea sifa nzuri kiduchu ila kufungwa ni aibu ambayo itakuwa na historia kwa timu hiyo kubwa.

Mchezaji mkali Eto alisadikika ni kati ya wachezaji ambao watacheka na nyavu ingawa amecheka na nyavu mara moja.

Poleeeeni ndio michezo.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1

No comments:

Post a Comment