
Album inaitwa IVETA, itakuwa na jumla ya nyimbo 10, baadhi ni IVETA, BINADAMU, MBALAMWEZI, SUBIRA, MGANGA, ROHO MBAYA, NADHIFA nk.Katika album hii atawashirikisha BELLE 9, LINAH na JOSEFLY.. Lengo la kuwashirikisha wasanii wachache ni kutaka kukionesha kipaji chake zaidi.
Studio zilizohusika kuipika album hii ni pamoja na TETEMESHA RECORDZ (Kid bwoy), AB RECORDS (Amba), MUSIC LAB (Duke), MZUKA RECORDS (Benja), A2P RECORDS (Sam Timba).
Kamua Dogo support utaipata kama utaonesha uwezo.
No comments:
Post a Comment