Kikwete anakuwa mwanachama wa kwanza kuchukua fomu za kuwania kiti cha uraisi, uchaguzi utakaofanyika oktoba mwaka huu.
Akikabidhiwa fomu na Katibu mkuu wa chama hicho Yusuph Makamba, kuliambatana na sherehe za kumpongeza huku wana CCM wakijitokeza kwa ajili ya kumdhamini.

Kikwete akikabidhiwa fumu na Makamba!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment