Monday, June 21, 2010

RAIS KIKWETW ACHUKUA FOMU YA URAIS

Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya M. Kikwete, Leo mchana amechukua fomu ya kutetea kiti chake cha uraisi kupitia chama cha mapinduzi huko mkoani dodoma.

Kikwete anakuwa mwanachama wa kwanza kuchukua fomu za kuwania kiti cha uraisi, uchaguzi utakaofanyika oktoba mwaka huu.

Akikabidhiwa fomu na Katibu mkuu wa chama hicho Yusuph Makamba, kuliambatana na sherehe za kumpongeza huku wana CCM wakijitokeza kwa ajili ya kumdhamini.


Kikwete akikabidhiwa fumu na Makamba!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

No comments:

Post a Comment