Chuo hicho ambacho kinatoa nafasi kwa wanafunzi kujifunza kwa vitendo kwa ajili ya kufahamu zaidi, lengo ni ili kuweza kakabiliana na changamoto za kazi watakapokwenda katika field.
Hawa ni wanafunzi wa udzugwa wakiwa ndani ya studio za moshi fm pamoja na mtangazaji Amina Mbwambo.
Chuo hiki kinatoa kozi mbalimbali kama Chuo hiki kinatoa kozi kama;-
Certificate and Diploma in Hotel Management-
Certificate in Early Childhood Department
-Communication Skills ( English, French, Spanish and Swahili for Foreigners)
-Certificate and Diploma in Tourism-Certificate and Diploma in Tour Guide and Driving
-Certificate and Diploma in Business Admistration
-Certificate and Diploma in Journalism.
Kwa kozi zote wanafunzi hujiunga na sehemu mbalimbali kwa ajili ya vitendo mfano hifadhi za taifa, hotel kubwa, Vituo vya Radio na Television,shule zenye viwango na pia hufanya safari za sehemu mbalimbali kwa ajili ya mafunzo zaidi.
Huyu ni Neema Mlay, mwanafunzi wa udzungwa anyesoma kozi ya uandishi na utangazaji ndani ya studio za moshi fm
Dickson mwanafunzi wa udzungwa nayesoma masomo ya utangazaji na uandishi ndani ya studio za moshi fm.
Irene mwanafunzi wa udzungwa anayesoma masomo ya utangazaji na uandishi ndani ya studio za moshi fm.
Sharifa Mndeme mwanafunzi wa udzungwa anayesoma masomo ya utangazaji na uandishi ndani ya studio za moshi fm.
Saumu Materu mwanafunzi wa udzungwa anayesoma masomo ya utangazaji na uandishi ndani ya studio za moshi fm.
Chuo kipo Moshi mjini mkabala na maktaba ya Kanisa la Katoliki la Kristo mfalme au kama uwezi kufika kwa mawasiliano zaidi ni +255 784 815 517 au +255 784 473 475 au kwa barua pepe ya udzungwamountaincollege@yahoo.com.
Fomu za kujiunga na masomo zinapatikana Moshi Fm Radio, Chuoni udzungwa na wewe uliye mbali piga simu ujulishwe kwa kupata fomu kwa shilingi 5000/=. Kwa wale wanaotoka mbali zipo hostel kwa ajili ya kulala. Jiunge wakati wowote kwani masomo yanaendelea.Kwa maelezo zaidi ya haya wasiliana au fika Udzugwa.
WAHI MAPEMA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
No comments:
Post a Comment