Friday, June 18, 2010

NYUMBANI NI NYUMBANI

Ukweli ni mzuri maana ni moja kati ya mambo yanayokufanya ufanikiwe. Me mtoto wa kipare kutoka Vudee, pande za same juu.

Siku chache wiki hii nilikuwa kimya na nilitembea pande za home, najivunia sana ingawa ni mara ya kwanza kwa pande nilizokwenda na niliona vitu ambavyo sijaweahi kufikiri kama vipo huko.

Napata wasiwasi labda wengine hawafahamu ila napata raha kwa vivutio vilivyopo pande hizo za same juu.



Unaweza kufikiri hapa ni ulaya laaaaaa!. ni same juu akita mlima ya shengena hapo katikati si maji nimawingu yakiwa yametulia


Kuna barabara zinazozunguka mlima huu wa shengena na kwenda kwenye vijiji vingine ila hapo tuliogopa kushuka kwani kunatisha.


Kuna miti ya ajabu sanaa ambayo na hisi ni mizuri.


Ilikuwa safari ya siku moja tu ingawa ilikuwa tamu na ngumu. Tulipofika maeneo ya tambaraer na njaa ikiwa kali tuliamua kujipoza kwa picha. Huyu ni rafiki yangu Mustafa Ngetwa.


Dereva tuliyekuwa naye, Hassan.


Ilinibidi nitafute japo ndizi ila picha za kustukiza si nzuri jamanii!
Toka pade hizooooooooooo............................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!.



No comments:

Post a Comment