Sunday, June 6, 2010

TAFAKARI KWA HILI

Tunakila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kutujalia pumzi na uzima ndio maana leo tumeweza kukutana tena na kupeana michapo ya leo siku ya jumapili. Kidogo tu nilichowaandalia waungwana ni kuwa kila sekunde ya maisha inavyosogea tunapaswa kutafakari mambo mengi sana.

Ila leo naomba tutafakari juu ya hii picha kisha tukipata majibu tunaweza kujuza.


Jumapili njema yenye mafanikio nafuraha na tukumbuke kutoka na familia zetu.

No comments:

Post a Comment