Friday, June 18, 2010

ZAMU KWA ZAMU NDANI YA TMK WANAUME FAMILY

Jibaa wa wanaume out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Siku chache baada ya kundi la TMK Wanaume kuwasababishia mtoko Chegge pamoja na Mh.Temba...hatimae imefika zamu ya kichwa cha mzee mzima"KR".



Jibaba 'KR' amewaka wazi kuwa wakati wowote wiki hii atarelease wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la 'MAPEMA'.

Amesema pini hilo amelifanyia studio za Fishcrab chini ya Producer bwana mdogo Lamar...huku ndani yake akiwa amempa shavu mzee wa malavidavi namzungumzia Cassim Mganga kutoka familia ya TipTop kutoka Manzese.

Sikiliza Moshi Fm, kwenye show ya the base kila jumatatu hadi alhamisi na ijumaa ni project 120 kuanzia saa 8 hadi saa 10. Hapa utawasoma maswahiba waukweli, Mazimu, Dj clever na Mzeiya wa milazo.

Yeaaaaaaah..................

No comments:

Post a Comment